Watu Feki Lyrics – Appy Lyrics

Watu Feki Lyrics - Appy Lyrics

Siku mbili sijalala sijakula
Ninastress
Nyumba imegeuka chumba cha dharura
Emergency

Sioni marafiki ama mashosti
Au mnasubiri nife ndio mniposti
Bora nitafute pesa
Ndugu wa kweli mafanikio

Watu feki watu feki
Sitaki marafiki siwataki ng’o
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Wambie walio nicheat

Watch Lyrics Video Here

Wakaniumiza roho
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Sijui ninyamaze ama niseme wanicheke
Ama nijikaze nilie ninyamaze nijiliwaze

Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah

Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah

Watu feki wasioridhika
Nilishazika nikasafirisha
Watu feki watu feki
Leo wanakupandisha

Kesho ndio watakushusha
Watu feki watu feki
Utakufa na njaa
Msibani watapika pilau

Ukishika chapaa
Utacheka nawanao kudharau
Mmmh! Bora wali nyama kuliko walimwengu
Wakikosa sufuria watakupiga majungu
Ukweli unauma ukweli ni mchungu

Yeah yeah yeah
Sitaki marafiki siwataki ng’o
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Wambie walio nicheat wakaniumiza roho
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Sijui ninyamaze ama niseme wanicheke
Ama nijikaze nilie ninyamaze nijiliwaze

Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah

Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah

FOLLOW THIS WHATSAPP CHANNEL FOR MORE UPDATES

SHARE THIS POST